𝙪𝙨𝙞𝙨𝙖𝙝𝙖𝙪 𝙛𝙤𝙡𝙡𝙤𝙬, 𝙣𝙖 𝙩𝙤𝙖 𝙘𝙤𝙢𝙢𝙚𝙣𝙩 𝙮𝙖𝙠𝙤: WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imeunda timu maalumu ili kuchunguza kupanda kwa bei ya mafuta kwa kuwa kitendo hicho kinawaumiza wananchi hususan wale wa hali ya chini. Amesema Serikali imechukua uamuzi huo baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati nchini (EWURA) kutangaza bei mpya elekezi ya mafuta kwa mwezi Septemba ambapo ilionesha kupanda kwa bei za bidhaa hizo. EWURA ilitangaza bei hiyo tarehe 31 Agosti, 2021. Waziri Mkuu ametoa taarifa hiyo (Ijumaa, Septemba 10, 2021) wakati wa kuahirisha Mkutano wa Nne wa Bunge la 12 jijini Dodoma. Bunge limeahirishwa hadi tarehe 2 Novemba, 2021. Amesema kufuatia tangazo hilo la kupanda kwa bei za bidhaa hizo, Septemba Mosi, 2021, Serikali ilisitisha bei mpya zilizotangazwa na EWURA ili kufanya mapitio ya kina ya kupanda huko kwa bei na siku iliyofuata iliunda timu ya uchunguzi.
𝙁𝙤𝙡𝙡𝙤𝙬 𝙖𝙣𝙙 𝙖𝙙𝙙 𝙮𝙤𝙪𝙧 𝙘𝙤𝙢𝙢𝙚𝙣𝙩: INASIKITISHA SANA! Matukio mengine ukimwambia mtu si rahihi kumuingia akilini, imagine mtu anapoteza watoto wake wapendwa tena mapacha eti kisa yuko live kwenye mitandao ya kijamii, like seriously? Watoto wawili mapacha wamefariki dunia mara baada ya kuporomoka kutoka ghorofa ya kumi wakati mama yao akiwa amezama LIVE katika mtandao wa Facebook. Mapacha hao ambao ni Moise Petrice wa kiume na Beatrice Petrice pacha wa kike wamekumbwa na umauti huo baada ya kudandia katika dirisha lililokuwa limeachwa wazi. Tukio hili limejitokeza katika jiji la Ploiesti nchini Romania. Polisi wamethibitisha kwamba mama wa watoto hao hakugundua kama wanae wameporomoka na kufariki dunia hadi hapo aliposikia milio ya magari ya kubebea wagonjwa (Ambulance) huku kukiwa na mtu akibisha hodi mlangoni kwake. Muda wote huo mpaka watoto wanafariki yeye alikuwa bize LIVE Facebook akiongea na wafuasi wanaomfuatilia katika ukurasa wake wa mtandao huo wa facebook. I...
Picture shows a cameroonian young girl photographer This expression has officially manifested itself in Cameroon through a young girl with 9-year-old being declared the best and youngest photographer in the world. The statement was approved by the president of the country's football federation Samwel E'too said that for the first time in his life he was witnessing a young child with the most talented photographs in the country. Samwel E'too In an interview, the child whose name has been withheld said that all the things that people have been fascinated by have been learning from his father since he was a child. Young photographer with her Father For his part, the parent of the child who is also a famous photographer in the country has stated that he has been accompanying his son everywhere, a situation that led the child to become more knowledgeable and one of the many that made him very popular is to participate in photography in CAF competitions. Cameroon footballers wi...
Comments