MASHEIKH WA UAMSHO WAACHIWA HURU

https/www.rafelthejournalist.com


Masheikh wa Jumuiya za Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumiki), waliokuwa gerezani nchini Tanzania kwa zaidi ya miaka saba wameachiwa huru, bada ya mashtaka dhidi yao kufutwa.

Kuachiwa kwao kunakuja siku chache baada ya viongozi mbalimbali wa dini akiwemo Mufti mkuu wa Tanzania, Abubakar Zubeir kutaka mamlaka za Tanzania kutenda haki katika kesi dhidi yao.

Kwa mujibu wa mkurugenzi wa mashitaka (DPP, Sylvester Mwakitalu) aliyenukuliwa na Chombo Mwananchi Digital nchini Tanzania, mashekh wote hao wamefutiwa mashitaka yote na kuachiwa huru na kilichobaki sasa ni taratibu za kutoka gerezani.


Comments

Popular posts from this blog

PAPA MSOFE AFUTIWA MASHTAKA, AACHIWA HURU

The Ugandan Mixed School Where Boys Wear 'Skirts'