RAIS WA KWANZA WA ZAMBIA K
Kenneth David Kaunda (anafahamika zaidi kama KK).
Siku chache zilizopita, Dk. Kaunda alilazwa katika Hospitali ya Maina Soko jijini Lusaka kufuatia maradhi yaliyokuwa yanamsumbua kwa siku kadhaa.
Kaunda aliyezaliwa April 28, 1924, aliitawala Zambia kuanzia mwaka 1964 hadi mwaka 1991.
Chanzo: BBC Swahili
Comments