Posts

Showing posts from August, 2021

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO IJUMAA AGOSTI 20,2021

Image
𝙪𝙨𝙞𝙨𝙖𝙝𝙖𝙪 𝙛𝙤𝙡𝙡𝙤𝙬, 𝙣𝙖 𝙩𝙤𝙖 𝙘𝙤𝙢𝙢𝙚𝙣𝙩 𝙮𝙖𝙠𝙤:

Picha & Video : WAFANYAKAZI WA TANESCO WAZUA GUMZO WAKIFYEKA SHAMBA LA MAHINDI TINDE

Image
𝙪𝙨𝙞𝙨𝙖𝙝𝙖𝙪 𝙛𝙤𝙡𝙡𝙤𝙬, 𝙣𝙖 𝙩𝙤𝙖 𝙘𝙤𝙢𝙢𝙚𝙣𝙩 𝙮𝙖𝙠𝙤: Jana Alhamis Agosti 19,2021 kuna video imesambaa mtandaoni ikiwaonesha wafanyakazi wa TANESCO wakikata mahindi yaliyolimwa na mwananchi aliyejulikana kwa jina la Hemed Rashid katika eneo la Tinde wilaya ya Shinyanga mkoani Shinyanga. Inaelezwa kuwa mahindi hayo yamelimwa kwenye   njia kuu ya umeme. Wakazi wa Tinde na watumiaji wa mitandao ya kijamii wanahoji : "Hii ni halali ? Kwanini tunarudishana nyuma namna hii? Hii Tinde pata picha huyu mkulima  amelima TANESCO wakiwa wamemtazama Ila leo wameamua kuja kukata mimea hivi mnadhani mwananchi atawaelewaje? Haya mahindi yana athiri nini kwenye nguzo ? Kuna mimea ya tikiti nayo imekatwa madhara ya hiyo mimea 362 ya tikiti ni yapi?". "Tunaomba mamlaka kutusaidia kwani kitendo hiki ni ukatili dhidi ya binadamu maswali hayana majibu, Je shamba hili lilimwa siku moja na kupandwa kisha mazao kukua kwa kasi? Je Mamlaka ya Tanesco haikuwahi kufika hapo tangu shamb...

Wimbo Mpya : NAY WA MITEGO - MKUU NDUGU YANGU

Image
𝙪𝙨𝙞𝙨𝙖𝙝𝙖𝙪 𝙛𝙤𝙡𝙡𝙤𝙬, 𝙣𝙖 𝙩𝙤𝙖 𝙘𝙤𝙢𝙢𝙚𝙣𝙩 𝙮𝙖𝙠𝙤: Staa wa muziki wa Bongo Fleva Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, Ameachia ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la Mkuu Ndugu Yangu.

RAIS SAMIA AWASILI ZANZIBAR AKITOKEA NCHINI MALAWI

Image
𝙪𝙨𝙞𝙨𝙖𝙝𝙖𝙪 𝙛𝙤𝙡𝙡𝙤𝙬, 𝙣𝙖 𝙩𝙤𝙖 𝙘𝙤𝙢𝙢𝙚𝙣𝙩 𝙮𝙖𝙠𝙤: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akizungumza na Rais Mstaafu wa Malawi Bi. Joyce Banda Lilongwe nchini Malawi. Rais Mstaafu Joyce Banda alifika Lilongwe kuzungumza na kumpongeza Rais Mhe. Samia kwa kuwa Rais wa kwanza Mwanamke nchini Tanzania. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiagana na Rais Mstaafu wa Malawi Bi. Joyce Banda mara baada ya mazungumzo yao yaliofanyika Lilongwe nchini Malawi jana tarehe 18 Agosti, 2021. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiondoka katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kamuzu mara baada ya kushiriki Mkutano wa 41 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) uliomalizika hapo jana Agosti 18,2021 katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Bingu uliopo Jijini Lilongwe nchini Malawi. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Has...

WATATU WAKAMATWA WAKIJIFANYA MAOFISA WA TANESCO ARUSHA

Image
𝙪𝙨𝙞𝙨𝙖𝙝𝙖𝙪 𝙛𝙤𝙡𝙡𝙤𝙬, 𝙣𝙖 𝙩𝙤𝙖 𝙘𝙤𝙢𝙢𝙚𝙣𝙩 𝙮𝙖𝙠𝙤: Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha ACP Justine Masejo Na  Abel Paul Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha Jeshi la Polisi mkoani Arusha linawashikilia vijana watatu wenye umri kati ya miaka 20 hadi 26 wakazi wa mkoani humo kwa kosa la kuwadanganya wananchi wanaohitaji kuunganishiwa umeme kwamba wanaweza kuwapatia huduma hiyo kwa njia ya mkato kwa kuwa wao ni maofisa wa TANESCO. Taarifa hiyo imetolewa leo Agosti 18, 2021, na Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha ACP Justine Masejo  na kusema kwamba watuhumiwa hao walikamatwa Agosti 17, 2021, katika ofisi za TANESCO zilizopo Mtaa wa Old Line, Kata ya Themi, Halmashauri ya Jiji la Arusha. "Jeshi la Polisi Mkoani hapa lilifanikiwa kuwakamata watu watatu ambao ni Gidioni William (26) mkazi wa Sombetini, Richard Frank  (20) Mkazi wa Daraja la II, Godson Erick  (20) Mkazi wa Moshono wakijifanya watumishi wa Shirika la Umeme (Tanesco) Mkoa wa Arusha. "Watuhumiwa hao walik...

WADAU DODOMA WAKUTANA KUJADILI UHAMASISHAJI NA UTOAJI ELIMU YA SENSA YA WATU NA MAKAZI

Image
𝙪𝙨𝙞𝙨𝙖𝙝𝙖𝙪 𝙛𝙤𝙡𝙡𝙤𝙬, 𝙣𝙖 𝙩𝙤𝙖 𝙘𝙤𝙢𝙢𝙚𝙣𝙩 𝙮𝙖𝙠𝙤: Na Dotto Kwilasa, Dodoma OFISI ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma kwa kushirikiana na Ofisi ya Taifa ya Takwimu imewakutanisha  viongozi wawakilishi wa Serikali ngazi mbalimbali,makundi ya kijamii ,Taasisi za dini,Umma ,binafsi na vyama vya siasa katika kikao cha pamoja kwa lengo la uhamasishaji na utoaji wa elimu ya sensa ya watu na makazi inayotarajiwa kufanyika mwaka 2022 . Akieleza umuhimu wa kikao hicho Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Anthony Mtaka amesema wameandaa kikao hicho na kuyashirikisha makundi hayo ili kurahisisha utoaji wa elimu ya sensa kwa jamii huku akisisitiza kwamba kwa kufanya hivyo zoezi hilo litafanikiwa kama inavyotarajiwa. Kwa kutambua umuhimu wa zoezi hilo, Waziri  wa Mambo ya Ndani ya Nchi,George Simbachawene  amewataka watanzania kujitokeza kwa wingi katika zoezi  la  sensa ya watu na makazi linalotarajiwa kufanyika mwakani  ili kuiwezesha Serikali kupanga maendeleo na kukuza uch...

CHANJO YA UKIMWI YAANZA KUFANYIWA MAJARIBIO KWA BINADAMU

Image
𝙪𝙨𝙞𝙨𝙖𝙝𝙖𝙪 𝙛𝙤𝙡𝙡𝙤𝙬, 𝙣𝙖 𝙩𝙤𝙖 𝙘𝙤𝙢𝙢𝙚𝙣𝙩 𝙮𝙖𝙠𝙤: HATIMAYE chanjo ya Virusi vya Ukimwi (VVU) iliyokuwa inafanyiwa utafiti muda mrefu na Kampuni ya Moderna ya nchini Marekani inatarajiwa kuanza majaribio kwa binadamu kesho Alhamisi, Agosti 19, 2021. Hatua hii imekuja baada ya kampuni hiyo ambayo inatengeneza chanjo za aina mbili za Ukimwi, kufuzu hatua za awali za kimajaribio na hivyo kuanza kutumika kwa binadamu katika awamu ya tatu. Chanjo hizo ni pamoja na mRNA-1644 na mRNA-1644v2-Core, ambazo zimeshachunguzwa na kufanyiwa majaribio ya awali na kuonekana salama kabla ya kujaribiwa kwa binadamu kwa mara ya kwanza. Chanjo hiyo itaanza kutolewa kwa Watu 56 wa miaka 18-56 na majaribio yanatarajiwa kukamilika 2023. Virusi vya Ukimwi viligunduliwa kwa mara ya kwanza mwaka 1983-84 ambapo tangu miaka hiyo mamilioni ya watu wamepoteza maisha yao kutokana na janga hilo lisilo na kinga wala tiba. Moderna pia inatengenza chanjo ya mafua (influenza vaccine) kwa kutumia teknoloji...

🔺 TAZAMA HAPA MAJINA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA AWAMU YA PILI KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO MWAKA 2021

Image
𝙪𝙨𝙞𝙨𝙖𝙝𝙖𝙪 𝙛𝙤𝙡𝙡𝙤𝙬, 𝙣𝙖 𝙩𝙤𝙖 𝙘𝙤𝙢𝙢𝙚𝙣𝙩 𝙮𝙖𝙠𝙤: Students selected to join form five and Technical Colleges 2021/22 academic year -Waliochaguliwa Kidato Cha Tano 2021( Second Selection) First Selection, 2021 Second Selection, 2021 List of students selected to join Form Five (TAMISEMI) Form five Selection 2021):( Second Selection) View Link 1 Form Five Selection 2021/2022 View Link 2 Form Five Selection 2021/2022 BOFYA  <HAPA>  KUONA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO AWAMU YA PILI 2021 Wanafunzi 4,105 wamechaguliwa kujiunga kidato cha tano kwa mwaka huu katika uchaguzi wa awamu ya pili kutokana na waliochaguliwa awamu ya kwanza kutoripoti kwenye shule walizopangiwa. Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), Prof.Riziki Shemdoe, wakati akitangaza matokeo ya uchaguzi wa awamu ya pili mbele ya waandishi wa habari jijini Dodoma. Prof. Shemdoe amesema kuwa kati ya wanafunzi walioch...

HII HAPA RATIBA YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE 2021 - CSEE 2021 EXAM TIMETABLE 18 hours ago CSEE 2021 EXAM TIMETABLE TANGAZO LA USAJILI WA WATAHINIWA WA KUJITEGEMEA ACSEE 2022

Image
𝙪𝙨𝙞𝙨𝙖𝙝𝙖𝙪 𝙛𝙤𝙡𝙡𝙤𝙬, 𝙣𝙖 𝙩𝙤𝙖 𝙘𝙤𝙢𝙢𝙚𝙣𝙩 𝙮𝙖𝙠𝙤: CSEE 2021 EXAM TIMETABLE TANGAZO LA USAJILI WA WATAHINIWA WA KUJITEGEMEA ACSEE 2022 .

WAZIRI MHANGAMA AZINDUA MFUMO WA KIELEKTRONIKI WA URATIBU NA UFUATILIAJI WA SHUGHULI ZA SERIKALI

Image
𝙪𝙨𝙞𝙨𝙖𝙝𝙖𝙪 𝙛𝙤𝙡𝙡𝙤𝙬, 𝙣𝙖 𝙩𝙤𝙖 𝙘𝙤𝙢𝙢𝙚𝙣𝙩 𝙮𝙖𝙠𝙤: Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Uratibu, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akitoa hotuba fupi wakati wa hafla ya uzinduzi wa Mfumo wa Kielektroniki wa uratibu na ufuatiliaji wa shughuli za Serikali (DashBoard) iliyofanyika leo Agosti 16, 2021 Jijini Dodoma. Sehemu ya Viongozi wakifuatilia hotuba ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia maswala ya Sera, Uratibu, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama (hayupo pichani) wakati wa uzinduzi wa Mfumo wa Kielektroniki wa uratibu na ufuatiliaji wa shughuli za Serikali (DashBoard), Jijini Dodoma. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama (katikati) akizindua rasmi Mfumo wa Kielektroniki wa uratibu na ufuatiliaji wa shughuli za Serikali (DashBoard) Kushoto ni Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha na Mip...