𝙪𝙨𝙞𝙨𝙖𝙝𝙖𝙪 𝙛𝙤𝙡𝙡𝙤𝙬, 𝙣𝙖 𝙩𝙤𝙖 𝙘𝙤𝙢𝙢𝙚𝙣𝙩 𝙮𝙖𝙠𝙤: BBC News , S CHANZO CHA PICHA, GETTY IMAGES Wakati usomaji wa majina unaendelea, wacha tukumbuke uzoefu wa siku hiyo. Wakati ndege ilianguka kwenye Mnara wa Kaskazini wa Kituo cha Biashara cha Dunia, Tom Canavan alikuwa kwenye ghorofa ya 47. Aliviambia vyombo vya habari kile kilichotokea siku hiyo. "Mimi na wenzangu tulishuka kwenye ngazi na tulikuwa tunakwenda chini. Nilirudi nyuma kusaidia wenza wazee kupitia milango. "Kisha jengo la kusini lilianguka na kifusi kilianguka juu yetu. Iliwaua wafanyakazi wenzangu ambao walikuwa wakitembea mbele yangu. "Sina hakika ikiwa nilipoteza fahamu, lakini wakati fulani, niliweza kutoka nje ya kifusi. Nilikuwa na bahati ya kutoka kwenye eneo la tukio nikiwa hai, kwa sababu ya kile kilichokuwa kikitupiga kutoka juu. Wakati ukiangalia picha za wingu hilo kwenye Runinga, hauoni kilicho kwenye vumbi hilo, lakini kwa kweli, moshi ulikuwa umejaa mashine za kunakili, komp...