Katika Blog hii Utapata habari zote ndani na nje ya nchi
Pole Pole Amjibu Nape Nauye "Kwani Nimemtaja Mtu au Ndio Wahuni Wenyewe"
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
𝐅𝐎𝐋𝐋𝐎𝐖 𝐏𝐀𝐆𝐄 𝐍𝐀 𝐓𝐎𝐀 𝐂𝐎𝐌𝐌𝐄𝐍𝐓 𝐘𝐀𝐊𝐎 𝐇𝐀𝐏𝐎 𝐂𝐇𝐈𝐍𝐈👇👇
"Juzi nimesema kuhusu wahuni tena nikafafanua wahuni ni wakwepa kodi,wapiga dili,wala rushwa,sasa kuna watu wananichukia kwani nimemtaja mtu? au ndio wahuni wenyewe!" amesema Humphrey Polepole.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Juni 18, 2021 imemfutia mashtaka na kumwachia huru mfanyabiashara Marijan Msofe (53) maarufu Papa Msofe na wenzake wanne. Hatua hiyo inatokana na Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) kuwasilisha hati mahakamani hapo akieleza kuwa hana nia ya kuendelea na shauri hilo dhidi ya washtakiwa hao. Msofe na wenzake walikuwa wanakabiliwa wa mashtaka matano likiwemo la kujipatia Sh943 milioni kwa njia ya udanganyifu. Mbali na Papa Msofe, washtakiwa wengine katika kesi hiyo ya uhujumu uchumi namba 124/2019 ni Wenceslaus Mtu(49), Mwesigwa Mhingo (36), Josephine Haule (38) na Fadhil Mganga (61). Uamuzi wa kuwafutia kesi hiyo na kuwaachia huru washtakiwa hao umetolewa Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama hiyo, Huruma Shaidi wakati kesi hiyo ilipoitwa kwa ajili ya kutajwa. Awali, wakili wa Serikali mwandamizi, Wankyo Simon amedai kuwa DPP ameieleza mahakama hiyo kuwa hana nia ya kuendelea na shauri hilo. Baada ya upande mashtaka kueleza hiyo, Shaidi alikubaliana na o...
The school principal has however come out to clear the air around the conversation, saying that people are misapprehending the concept behind their school attire. He said that the skirt-like attire is actually a kilt, a traditional attire worn by Scottish men. The school principal has however come out to clear the air around the conversation, saying that people are misapprehending the concept behind their school attire. He said that the skirt-like attire is actually a kilt, a traditional attire worn by Scottish men. The appearance of male students at a school in Uganda wearing "skirts" as part of the required attire sparked discussions on social media. People have been wondering why male students at Nyakasura School, a mixed boarding and day high school in Uganda's Western region, are wearing'skirts,' against the norm. The school principal, on the other hand, has come out to clear the air, claiming that people are misinterpreting the concept behind their school u...
Comments