Posts

Showing posts from June, 2022

Fahamu umuhimu wa uwepo wa mitandao ya kijamii na kusudi la maadhimisho yake kila ifikapo Juni 30.

Image
Mitandao ya kijamii Pamoja na kuunganisha watu duniani kote, Mitandao imetoa fursa kwa watu kutengeneza kipato.  Siku ya Mitandao ya Kijamii inaadhimishwa kusherehekea mahusiano ambayo watu wamejenga kupitia Mitandao mbalimbali. Uwepo wa Mitandao ya Kijamii umesaidia upatikanaji wa Taarifa, umetoa fursa kwa sauti za Wananchi kusikika na kuchochea Serikali duniani kote kutatua changamoto za Raia haraka zaidi. Mitandao ina nguvu kubwa ya kuleta mabadiliko ikitumika vizuri. Je, unatumiaje nafasi yako katika Mitandao ya Kijamii? ULINZI WA FARAGHA KATIKA MITANDAO YA KIJAMII Ili kujilinda unapotumia Mitandao mbalimbali ya Kijamii, inashauriwa; 1) Kuwa Makini na Taarifa zako binafsi: Ni muhimu kutoweka kila kitu Mitandaoni kwani baadhi ya taarifa zako zinaweza kutumiwa vibaya na kuleta madhara 2) Epuka kuweka kila kitu Mitandaoni: Kufanya hivi kunaweza kuweka Taarifa zako, angalia 'Privacy Setting' kujua namna unaweza kujiongezea usalama 3) Nenosiri (Password) Imara: Kuwa na Nenosiri ...

Rais azindua Shamba la bangi la Mamilioni

Image
Rais Emerson Mnangagwa katikati akiwa amezungukwa na jopo la Madaktari nchini Zimbabwe Rais wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa amezindua shamba la bangi kwa ajili ya dawa lenye thamani ya dola za kimarekani milioni 27. Shamba hilo limewekewa kiwanda cha kisasa cha usindikaji ambacho bangi yake itatumika kama suluhisho la matibabu ya kibaolojia na bidhaa za dawa katika soko la ndani na la kimataifa. Mradi huu ni kwa ushirikiano na Serikali ya Uswizi kupitia kiwanda cha Swiss Bioceuticals na Serikali ya Zimbabwe. Rais Mnagangwa amesema kuwa ushirikiano huo unaonyesha imani ya Uswizi katika kuwekeza ndani ya uchumi wa Zimbabwe huku akisema kuwa taifa hilo la Ulaya tayari limeshirikiana na Zimbambwe katika miradi mingine kama vile viwanda, usindikaji wa chakula na ujenzi wa taasisi mbalimbali. Imeandaliwa na Rafael Masau

Aliyewatumia wanafunzi kuchimba kaburi akamatwa.

Image
Jeshi la Polisi Mkoani Rukwa, linamshikilia mtu mmoja Tanda Thadeo (30),mkazi wa kitongoji cha Kasisiwe kilichopo manispaa ya Sumbawanga kwa tuhuma za kuwatumia wanafunzi kushiriki zoezi la kufukua kaburi la mtoto ili afufuliwe. Kamanda wa Polisi Mkoani humo, ACP Theopita Mallya amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa mtuhumiwa Thadeo anashikiliwa kwa tuhuma za kuwatumia wanafunzi hao wa Darasa la sita katika Shule ya Msingi Kasisiwe iliyopo Manispaa ya Sumbawanga, kwa kuwaahidi ya malipo ya shilingi elfu kumi. “Mtuhumiwa alifanya tukio hilo ikidaiwa kuwa wanataka kumfufua mwanae na watoto waliofanya kazi hii walipewa ahadi ya malipo ya shilingi elfu kumi,” amesema Kamanda Mallya. Mtoto huyo Martine Tanda (2) anayedaiwa kutaka kufufuliwa alifariki na kuzikwa Juni 17, 2022 katika makaburi ya kitongoji cha Kasisiwe kilichopo Mkoani Rukwa Aidha kwa upande wake Kamanda wa Jeshi la Polisi wilaya ya Sumbawanga, Marry Kway naye alishiriki katika kutoa somo la ukatili wa kijinsia n...

Ardhi ni Mali ya Nani? Prof. Issa Shivji amwandikia Rais Samia

Image
Prof. Issa Shivji Kufuatia suala la wamasai kuhamishwa katika eneo la hifadhi ya ngorongoro Prof. Issa Shivji amemuandikia Rais Samia barua ya Wazi huku akieleza na kufafanua Sheria ya Ardhi.  Pia amehitimisha kwa kusema Watu wa Ngorongoro na Loliondo hawawezi kuhamishwa bila kufuata taratibu za Kisheria na kwa sababu Mahususi itakayo wekwa wazi na Kujadiliwa.  "Bila uhuru hakuna maendeleo. Bila maendeleo hakuna uhuru. Maendeleo ya kulazimishwa ni udikteta. Maendeleo ya hiari ni demokrasia." Prof. Issa Shivji  Written by Rafael Masau

Huu hapa mwongozo wa Ligi msimu ujao 2022/2023.

Image
Itazame Kalenda ya Matukio na mwongozo mzima wa Ligi Tanzania bara kwa msimu wa 2022/2023.  

The Ugandan Mixed School Where Boys Wear 'Skirts'

Image
The school principal has however come out to clear the air around the conversation, saying that people are misapprehending the concept behind their school attire. He said that the skirt-like attire is actually a kilt, a traditional attire worn by Scottish men. The school principal has however come out to clear the air around the conversation, saying that people are misapprehending the concept behind their school attire. He said that the skirt-like attire is actually a kilt, a traditional attire worn by Scottish men. The appearance of male students at a school in Uganda wearing "skirts" as part of the required attire sparked discussions on social media. People have been wondering why male students at Nyakasura School, a mixed boarding and day high school in Uganda's Western region, are wearing'skirts,' against the norm.  The school principal, on the other hand, has come out to clear the air, claiming that people are misinterpreting the concept behind their school u...

Ligi kuu Tanzania bara

Image
Rasmi pazia la ligi kuu Tanzania bara linafungwa leo, takribani michezo nane kupigwa kwa pamoja jioni ya leo. Ni timu gani unahisi itaifuata Mbeya Kwanza Championship?

The ancients said that the way you feed a child is the way he/she grow up.

Image
Picture shows a cameroonian young girl photographer This expression has officially manifested itself in Cameroon through a young girl with 9-year-old being declared the best and youngest photographer in the world. The statement was approved by the president of the country's football federation Samwel E'too said that for the first time in his life he was witnessing a young child with the most talented photographs in the country. Samwel E'too In an interview, the child whose name has been withheld said that all the things that people have been fascinated by have been learning from his father since he was a child. Young photographer with her Father For his part, the parent of the child who is also a famous photographer in the country has stated that he has been accompanying his son everywhere, a situation that led the child to become more knowledgeable and one of the many that made him very popular is to participate in photography in CAF competitions. Cameroon footballers wi...

"STOP SMOKING to Protect Your Health" Dr. Ummy Mwalimu Minister of Health

Image
Picture shows the Minister of Health Dr Ummy Mwalimu in a speech during the meeting at the parliament Dodoma Smoking, drugs use as well as tobacco use among young people has now become a common occurrence for many because some of them they imitate their peers but still they have no education about the harmful effects of using such substances Cigarette In addressing this issue, the government through the Ministry of Health, Community Development, Gender, the Elderly and Children, has come up with a strategic plan to provide education to young people on ensuring that it reduces or eliminates the use of these drugs in order to protect the public health. However, the minister in charge Dr Ummy Mwalimu said she was giving two months to Tanzania Medicines and Medical Devices Authority TMDA an Executive Agency under the Ministry of Health in collaboration with the country's drug commission to ensure they conduct research and evaluation of the products in order to see how to reduce or com...